Cdm live on startv ijumaaa

Jeje

Member
Feb 19, 2012
13
2
Taarifa nilizonazo hivi sasa source startv,watarusha matangazo ya moja kwa moja ijumaa kutoka arumeru,hii ni fundrising kwaajili ya kamanda wetu nasari,mungu ibariki tanzani mungu ibariki cdm.........!!
 
safi sana! Hii strategy ya kutumia Star TV inayoangaliwa na wakina Ngoshwe nimeipenda sana maana ni mtaji mkubwa kwa CHADEMA!
 
Tunasubiri kwa hamu, MI NATANGAZA KUANZIA LEO STAR TV NDO TELEVION YETU YA TAIFA"
 
Safi sana Comrades Tuko pamoja Si (TBC) CBC CCM BROADCAST COOPERATION Hawataki kutangaza na kuonesha habari za CDM,Basi Star TV Ndio Television ya Taifa,Tunashukuru kwa bwana Dialo kwa kutokuwa mwoga,Haki haiombwi Hudaiwa.
Bravo! CDM
 
Safi sana Comrades Tuko pamoja Si (TBC) CBC CCM BROADCAST COOPERATION Hawataki kutangaza na kuonesha habari za CDM,Basi Star TV Ndio Television ya Taifa,Tunashukuru kwa bwana Dialo kwa kutokuwa mwoga,Haki haiombwi Hudaiwa.
Bravo! CDM

yaah ni afadhali ya dialo mkuu, hata wakati wa uchaguzi wa tarime na uchaguzi mkuu mwaka 2010 walikuwa open sana, licha ya kwamba mkubwa wa hivyo vituo alikula mweleka babu kubwa.. chejea mwanza yeyee.. Lakini ni muda mwafaka kwa CDM Kuanzisha runinga na radio yake.. ili watu wapate sera na uelewa mpana juu ya chama
 
Safi sana Comrades Tuko pamoja Si (TBC) CBC CCM BROADCAST COOPERATION Hawataki kutangaza na kuonesha habari za CDM,Basi Star TV Ndio Television ya Taifa,Tunashukuru kwa bwana Dialo kwa kutokuwa mwoga,Haki haiombwi Hudaiwa.
Bravo! CDM
mnakumbuka mkwara waliopewa MWANANCHI katika kampeni zilizopita?
 
Back
Top Bottom