GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Kinachowashangaza watanzania na wenye kuitakia mema nchi hii ( sio CDM ) ni pale ambapo CDM kususia sherehe zote za kitaifa japokuwa hupewa mualiko rasmi. Hivi hizi sherehe zote za kitaifa hazina maana kwenu ? je mngechukua nchi hii na kushika dola mngezifuta ? . Hili kwa CDM halionyeshi picha nzuri kabisa mbele ya watanzania, na wengi wameisha anza kuwadharau na kuwaona kuwa hamkuwa na nia njema na hamna nia njema na nchi zaidi ya maslahi yenu binafsi. Na nukuu maneno ya Mh. Shibuda , mbunge wa CDM Maswa wakati wa kikao cha wabunge wa CDM kilichofanyika Bagamoyo kuwa
hiki si chama cha kisiasa bali ni kundi la wahuni wachache wenye uroho wa madaraka mwisho wa kunukuu. Tafakari zingatia