GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Katika kipindi hiki kifupi CDM wametoa shutuma / malalamiko yafuatayo:
- Hujuma za kutaka kuuliwa viongozi wake
- Tuhuma za kutumiwa simu za wabunge wa CDM kutuma sms za vitisho kwa Mh. Mwigulu Nchemba (aka. Kiboko ya CDM warukao na watambaao ardhini na angani)