Zabron Erasto
Member
- May 29, 2011
- 47
- 3
Wapenzi wa Oldz mtakubaliana na mimi kuwa ubunifu na ushindani wa wasanii wa enzi hizo ulikuwa ni mkubwa sana. kumbuka ushindani wa Nguza Vicking(Maquiz) na Ndala Kasheba(Oss). watu waliburudika. Pambamoto chini ya Chiriku Manet. Tuncut Almas. Msondo. Sambulumaa band watu walisuuzika vilivyo. Je leo nyimbo hizi tuzipendazo kama Urafiki wa uongo, Maria, Clara n.k tuzipate wapi CD ama record zake zi wapi ? maana redio nyingi hazipigwi. Ni wapi pa kuzipata nyimbo hizi ili bongo zetu zisuuzike vilizo.