babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,161
- 5,971
bongo kila kitu deal hadi mnaboa siku 8 100000? acheni tamaa bora hata ungewafanyia 20000 ya maji acheni janja janjaa
AmeenAhsante sana Twaleeb. Tumepata mwanga na uelewa wa kufunga Madish na kuset channels bila kulipia chochote. Ni watu wachache sana wenye moyo wa kujitolea kama wewe. Hongera sana na tunamwomba Mwenyezi MUNGU akuzidishie ujuzi upate kuwa Mahiri zaidi katika fani hii.
Amiin
bongo kila kitu deal hadi mnaboa siku 8 100000? acheni tamaa bora hata ungewafanyia 20000 ya maji acheni janja janjaa
njoo kwangu utasoma bure hutolipia hata shilingi moja km upo tyr tuwasilianeMuwe mnatoa hii course mara kwa mara,neipenda ila kwa sasa mambo yapo ovyo
asante sana kwa moyo wako mkuu nipo mbali na dar,mimi nahitaji software mkuu za hivo visambusinjoo mm nafundisha bure
Unapatikana wapi? Naomba mawasiliano yako kakanjoo kwangu utasoma bure hutolipia hata shilingi moja km upo tyr tuwasiliane
nipo kigamboni 0622001223Unapatikana wapi? Naomba mawasiliano yako kaka
Wewe ni KINABO.Leo Mm naanza darasa mida ya saa nne asubuhi anaehitaji afike kigamboni kisha achukue daladala zakwenda kibada ashuke ungindoni aulize dar live ya zamani akifika hapo nipigie simu ntakuja kukufwata ama utanipigia cmu 0622001223
NB kwangu utasoma bila kulipia natoa elimu bure
karibu sana kigamboni unakuja lini ila nashukuru kwa matuc yko mungu akuzidishie matucWewe ni KINABO.
Kwa nini usianzishe uzi wako? Kila mwenye akili timamu anapaswa kukupuuza. Mimi nitakuja huko kigamboni, lkn nitakuja kukuchapa makofi
Acha mambo ya kiswahili mzee. Mwenzio ameanzisha uzi wake, anaeleza biashara yake. Wewe unakuja na mambo yako ya bure sijui kitu gani...sio uchawi huo?karibu sana kigamboni unakuja lini ila nashukuru kwa matuc yko mungu akuzidishie matuc
Acha mambo ya kiswahili mzee. Mwenzio ameanzisha uzi wake, anaeleza biashara yake. Wewe unakuja na mambo yako ya bure sijui kitu gani...sio uchawi huo?
Dah aisee kama bahati,na Mimi naishi shangwe hapa,wewe unaishi kigamboni sehemu gani?nipo kigamboni 0622001223
Dah aisee kama bahati,na Mimi naishi shangwe hapa,wewe unaishi kigamboni sehemu gani?
Je ndugu Twaleeb, mafunzo hayo utayatoa tena, mimi pia ni muhitaji.Tunashukuru mungu tumemaliza salama coz ya siku 8 yenye kulipishwa laki moja waliokuja wameipata kwa bure na wameisoma kwa siku moja
je ndugu utatoa tena mafunzo hayo, mimi pia ni muhitaji
powah nasubiri cmu ykoTwaleeb,ntakupigia