Salaam.
Jamani mi naamini jf hakiharibiki kitu.
Kuna jamaa yangu yuko Mwanza kwa muda, kaniuliza anawezapata wapi "nondo" au materials za CCNA(cisco)?
Najua internet ipo ila you never know, the world is full of possibilities.
Asanteni.
Salaam.
Jamani mi naamini jf hakiharibiki kitu.
Kuna jamaa yangu yuko Mwanza kwa muda, kaniuliza anawezapata wapi "nondo" au materials za CCNA(cisco)?
Najua internet ipo ila you never know, the world is full of possibilities.
Asanteni.
You guys are so great.
Kuna jamaa mmoja alisema humu, jf ni kama watoto wa baba mmoja mama mmoja.
Heshima kwenu nyote mliochangia na mlio-view.