Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Walipokuwa Butiama walishikana mashati na kutoleana kauli chafuchafu. Kwenye kikao cha Bunge cha Juni 2009, mashati yakaendelea kushikana na mikakati ya usuluhishi ikafanywa. Kwenye baraza la Wawakilishi usisikie, ni vurugu bin balaa, kilio kuhusu Mafuta, Muungano na mengine yasiyoeleweka.
Walipokuwa wakigombea 2000, nusura wachaniane mashati, ikabidi wakalishwe kitako ati Chimwaga au sijui ni Kizota.
Je CCM Zanzibar lao ni nini? Wanalilia nini huku wako madarakani? ni nani hao wasiofungamana na kuelewana ndani ya CCM Zanzibar?
Walipokuwa wakigombea 2000, nusura wachaniane mashati, ikabidi wakalishwe kitako ati Chimwaga au sijui ni Kizota.
Je CCM Zanzibar lao ni nini? Wanalilia nini huku wako madarakani? ni nani hao wasiofungamana na kuelewana ndani ya CCM Zanzibar?