Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,645
aluta continua....magamba bwana
Mi sijakuelewa.
Siwezi kuimani barua isiyo na alama yoyote yenye kunisadikisha kuwa hawa wenye barua hii ni CCM. Hata kama hatuipendi, tusiiisingizie. Tutoa data zenye ukweli na uhakika si kama hili. Linaweza likawa la kweli lakini sisi tulio mbali na eneo la tukio tunahitaji ushahidi wa kutosha. Barua uliyoiambatanisha hata mwingimne yeyote anaweza akaiandika
Mi sijakuelewa.
Siwezi kuimani barua isiyo na alama yoyote yenye kunisadikisha kuwa hawa wenye barua hii ni CCM. Hata kama hatuipendi, tusiiisingizie. Tutoa data zenye ukweli na uhakika si kama hili. Linaweza likawa la kweli lakini sisi tulio mbali na eneo la tukio tunahitaji ushahidi wa kutosha. Barua uliyoiambatanisha hata mwingimne yeyote anaweza akaiandika
Maombi yenu ilikuwa afe lakini kwa rehema za Mwenyenzi Mungu Mwingi wa Rehema bado anaendelea kupumua na taarifa za awali zote amesha toa ukweli wote utawekwa hadharani soon.
Mfano mimi ni juha kweli, niambie uongo ni upi?
kama hiyo, ni kweli, ikithibitika serikali ilimtesa Dr Ulimboka ama Serikali itaanguka kabla ya 2015 ama itaangukia 2015. No way out. Hapa hakuna ushabiki wa kivyama its all truth.
Mfano mimi ni juha kweli, niambie uongo ni upi?
Mfano mimi ni juha kweli, niambie uongo ni upi?
Mfano mimi ni juha kweli, niambie uongo ni upi?
Wakuu nimeshangaa kuona Nakala kwa "USALAMA WA TAIFA-KIKOSI MAALUM KUDHIBITI CHADEMA/WANAHARAKATI"
Ama kweli nimeamini kuwa CDM Inaikosesha CCM Usingizi..Hadi Imeundiwa kikosi maalum cha kuidhibiti!!!! Ila watake wasitake lazima 2015 wang'oke
Wewe unawaona CCM wana akili wale, CCM ni zaidi ya machizi....wewe chukua akili ya Mwingulu linganisha na Prof maji marefu hakuna tofauti...Ni ngumu sana kumuelemisha juha, rudi tena kwenye ile barua yasome yaliyomo ndani ya barua utaona fika kuna chizi mmoja kaitengeneza, sijui kama umeshawahi kupitia barua za kiofisi barua ina mapungufu mengi sana si barua ya kichama
Chama
Gongo la mboto DSM
Mi sijakuelewa.
Siwezi kuimani barua isiyo na alama yoyote yenye kunisadikisha kuwa hawa wenye barua hii ni CCM. Hata kama hatuipendi, tusiiisingizie. Tutoa data zenye ukweli na uhakika si kama hili. Linaweza likawa la kweli lakini sisi tulio mbali na eneo la tukio tunahitaji ushahidi wa kutosha. Barua uliyoiambatanisha hata mwingimne yeyote anaweza akaiandika
Wewe unawaona CCM wana akili wale, CCM ni zaidi ya machizi....wewe chukua akili ya Mwingulu linganisha na Prof maji marefu hakuna tofauti...
Uko dunia ipi mkuu, CCM ni zaidi ya chama cha majambazi...