Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,089
Kusema kweli sasa jf imepoteza mwelekeo.maana halisi ya gt imepotea .yaliyobaki ni majungu na upotoshaji wasomaji sina budi sasa kuachana nayo:spit::spit:
Kweli hata mm nipo mbioni kwani yaliyompata Simbachawene, licha ya kuwatahadharisha wachangiaji na Mods bado walisisitiza ni kweli kapigwa mapanga
Nachosema ile sio Headed Paper ya CCM hata kwa kui-scan
Ok nakubali km vita ndio hiyo kati ya CCM na CDM hapo Moshi basi hao CCM wasipojibu hii barua ni mahayawani upinzani huwa hauanzishwi namna hiyo.
Kama ni uongo na ni photoshop basi JF tunaelekea katika utoto