Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,247
Watakao shiriki mgomo watalindwa hata kama watasababisha maafa watalindwa dhidi ya mkono wa sheria.kama kuna ukweli ccm imechoka na sasa wanatapatapa.cdm walisema bungeni kuwa itashirikiana na wafanya kazi kudai haki zao wakaambiwa kuwa wako nyuma ya mgomo wa madaktari. wakati cdm walikuwa na maana ya kushirikiana na wafanya kazi kwa kutumia njia za haki.kama cdm walikuwa nyuma ya mgomo basi ccm wako mbele ya mgomo.