Baada ya mimi
kuripoti humu JF jana kuwa CCM imeanza kujiandaa kwa Kampeni za
Sumbawanga Mjini,jana kilifanyika kikao kingine. Nashukuru
hawakunifahamu hivyo kutonitenga. Nikawepo tena kwenye Kikao cha pili
cha dharura. Kikaoni,tukaanza kutemewa mkwara na 'Mwenyekiti' wa kikao
ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.
' Tumepokea taarifa kuwa yupo mtu humu anaweka mipango yetu wazi kwenye
mitandao. Tumeshamjua. Tunamuonya asirudie. Na leo tumemtenga rasmi
kwenye vikao vyetu vya kimkakati. Hatahudhuria hadi atakapotubu'
alitamba 'Mwenyekiti' huyo. Nusura nicheke. Kweli CCM ni waongo na
waliojaa propaganda. Mbona mimi nipo?! nilijiuliza kimoyomoyo.
Eti, taarifa ikatolewa kuwa mipango ya awali ya kumteua Mwigulu na timu
yake ya Kampeni na nini sijui imesitishwa. Imesitishwa kwakuwa imevuja.
Ikaundwa Kamati Ndogo itakayoshughulikia kisirisiri mipango hiyo ya
Sumbawanga Mjini. Nami pia nimo. Raha ilioje! Mwaka huu,hadi kieleweke.
Nilifundishwa jeshini enzi hizo kuwa ukitaka kumjua adui vyema,jiunge
naye kwa juhudi zako zote. Ndivyo nilivyofanya. CCM hawatapata
pakutokea.
Nape akiiona hii anatamani kupasuka, wakikugundua pollonium inakuhusu mkuuBaada ya mimi kuripoti humu JF jana kuwa CCM imeanza kujiandaa kwa Kampeni za Sumbawanga Mjini,jana kilifanyika kikao kingine. Nashukuru hawakunifahamu hivyo kutonitenga. Nikawepo tena kwenye Kikao cha pili cha dharura. Kikaoni,tukaanza kutemewa mkwara na 'Mwenyekiti' wa kikao ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.
' Tumepokea taarifa kuwa yupo mtu humu anaweka mipango yetu wazi kwenye mitandao. Tumeshamjua. Tunamuonya asirudie. Na leo tumemtenga rasmi kwenye vikao vyetu vya kimkakati. Hatahudhuria hadi atakapotubu' alitamba 'Mwenyekiti' huyo. Nusura nicheke. Kweli CCM ni waongo na waliojaa propaganda. Mbona mimi nipo?! nilijiuliza kimoyomoyo.
Eti, taarifa ikatolewa kuwa mipango ya awali ya kumteua Mwigulu na timu yake ya Kampeni na nini sijui imesitishwa. Imesitishwa kwakuwa imevuja. Ikaundwa Kamati Ndogo itakayoshughulikia kisirisiri mipango hiyo ya Sumbawanga Mjini. Nami pia nimo. Raha ilioje! Mwaka huu,hadi kieleweke. Nilifundishwa jeshini enzi hizo kuwa ukitaka kumjua adui vyema,jiunge naye kwa juhudi zako zote. Ndivyo nilivyofanya. CCM hawatapata pakutokea.
Isije ikawa mzee Tupa Tupa ndio Wilson Mkama mwenyewe, JF Kiboko
Lofa mwenyewe.Nani amekutuma? Ili iweje? Wewe utakuwa huna adabu hata kwa wakubwa zako. Jifunze kuwa na adabuNafikiri nyie vichwa vya panzi visivyoweza kufikiri msiwe vilaza kiasi hicho. Ukifikia mahala unaamini aliyoleta huyu jamaa jua kuwa na wewe hamnazo. Kilichonituma ni kwamba ameniambia si muda mrefu niingie humu nione vilaza wanavyoangaika kwa taarifa dhaifu na ambazo hazipo. Jana vile vile vile vilaza nyie nyie mlishinda humu kwa taarifa kama hii. Hivi hamuwezi kufikiri hata kidogo. Kweli vichwa vya senene ni vya senene tu. A cha ujinga toka humu kafanye kazi.TOKA MALOFA NYIE
Baada ya mimi kuripoti humu JF jana kuwa CCM imeanza kujiandaa kwa Kampeni za Sumbawanga Mjini,jana kilifanyika kikao kingine. Nashukuru hawakunifahamu hivyo kutonitenga. Nikawepo tena kwenye Kikao cha pili cha dharura. Kikaoni,tukaanza kutemewa mkwara na 'Mwenyekiti' wa kikao ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.
' Tumepokea taarifa kuwa yupo mtu humu anaweka mipango yetu wazi kwenye mitandao. Tumeshamjua. Tunamuonya asirudie. Na leo tumemtenga rasmi kwenye vikao vyetu vya kimkakati. Hatahudhuria hadi atakapotubu' alitamba 'Mwenyekiti' huyo. Nusura nicheke. Kweli CCM ni waongo na waliojaa propaganda. Mbona mimi nipo?! nilijiuliza kimoyomoyo.
Eti, taarifa ikatolewa kuwa mipango ya awali ya kumteua Mwigulu na timu yake ya Kampeni na nini sijui imesitishwa. Imesitishwa kwakuwa imevuja. Ikaundwa Kamati Ndogo itakayoshughulikia kisirisiri mipango hiyo ya Sumbawanga Mjini. Nami pia nimo. Raha ilioje! Mwaka huu,hadi kieleweke. Nilifundishwa jeshini enzi hizo kuwa ukitaka kumjua adui vyema,jiunge naye kwa juhudi zako zote. Ndivyo nilivyofanya. CCM hawatapata pakutokea.