kiwalanikwagude
Member
- Jun 8, 2011
- 52
- 19
Sasa haya ni matusi lazima hatua kali zichukuliwe dhidi ya Nape Nauye kwa kitendo cha kutudhalilisha watz wa hapa Us na huko bongo, eti kaenda Huoston(wabongo kibao) kufungua matawi ya chama tawala(CCM) huku wamarekani wanatushangaa iweje ofisi iwe kwenye car wash? au vituo vya kulelea wazee? na ikumbukwe kuwa alichokuwa anasema Nape ni kuwa yeye anzindua matawi ya chama tawala cha Tanzania hivyo wote tunaonekana "HAMNAZO"