Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 384
Mi nina wasiwasi na serikali yetu..
Hata mimi naanza kuitilia mashaka. Hivi CCM walikubalije kuungana na CUF bila kujua "major differences" walizonazo? Je katika makubaliano yao waliweka wazi msimamo wa kila chama kwenye hili swala la Muungano, au kuna watu walifanya usanii wakadanganya wenzao? Nashangaa; mbona wanaonekana kutofautiana sana kwenye hii issue? Upande wa uongozi wa juu CCM/serikali ndio imepata kigugumizi kabisa ilihali wao ndio chama tawala. Naanza kupata wasiwasi labda CCM iliwaahidi Wazanzibari watauvunja muungano (ili makubaliano yao na CUF na uchaguzi upite salama) sasa wanaanza kuwaruka. Hivi CUF inamsimamo gani kwenye hizi lawama anazopewa waziri wa sheria?