CCM yasitisha kikao chake cha NEC

Hii CCM ya JK imeishiwa yaani ajenda ya gamba wameianzisha wao kuitekeleza wanasikilizia huku wanogopa kweli kweli, and yet kuna watu kila kukicha humu wako bize kutaka kutuaminisha those guyz are serious??????
 
namkumbuka Kolimba aliye chama kimepoteza dira{uelekeo}
Laiti kama wangemsikiliza na kuyafanyia kazi maoni yake. nasikitika kuwa CCM inayumba na kuyumba wkake kunaiathiri nchi nzima. Ni ajabu kwua bado tunaebdelea kuwaamini wanasiasa kuwa ndio viongozi wetu
 
Tutaendelea kusubiri mpaka mkutano ufanyike, tuone wataamua nini ?
 
Chama cha Mapinduzi CCM kimeahirisha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, kilichotarajiwa kufanyika mwezi huu mjini Dodoma, kwa ajili ya utekelezaji wa dhana ya kuvuana magamba, inayowalenga makada wawili, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.

Duru za siasa kutoka ndani ya CCM zinasema kikao hicho kinaweza kumezwa pia na matokeo ya uchaguzi wa Igunga, kwa kutegemea kama CCM kinashinda au kinashindwa.

Wachambuzi wa siasa wanasema kama CCM itaibuka kidedea, utakuwa wakati mgumu kwa chama hicho kuendelea kuwatuhumu makada wanaoitwa mafisadi, maana kimelazimika kumtumia Rais Kikwete kumpigia magoti mmoja wao, Rostam Azizi, ili akisaidie kushinda.

Na kama kitashindwa, makada wanaorusha tuhuma dhidi ya mafisadi, watapata wakati mgumu kwa kuwa ndio waliosababisha Rostam kujiuzulu ubunge wa Igunga na kushindwa kwa CCM kutaonyesha nguvu ya watu walewale wanaosemekana wanakichafua chama.

Hata kauli za Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, na Rais mstaafu Benjamin Mkapa, kumsifia Rostam katika mkutano wa uzinduzi wiki iliyopita, ni kitanzi kingine kwa CCM inayojidai inawatosa kina Rostam kwa ufisadi wao.

Tanzania Daima

Siku hizi gazeti la Mh. Mbowe ndio wasemaji wa ccm?
 
Cha motoooo.....wanaogopa kuungua! Safi sana ogopaneni hivyo hivyo ila wake zetu waacheni jamani!
 
At least katika hili suala wametumia akili, hekima na busara ambavyo sijui kama ni vyao au wameazima kwa majirani!!
 
Chama cha Mapinduzi CCM kimeahirisha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, kilichotarajiwa kufanyika mwezi huu mjini Dodoma, kwa ajili ya utekelezaji wa dhana ya kuvuana magamba, inayowalenga makada wawili, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.

Duru za siasa kutoka ndani ya CCM zinasema kikao hicho kinaweza kumezwa pia na matokeo ya uchaguzi wa Igunga, kwa kutegemea kama CCM kinashinda au kinashindwa.

Wachambuzi wa siasa wanasema kama CCM itaibuka kidedea, utakuwa wakati mgumu kwa chama hicho kuendelea kuwatuhumu makada wanaoitwa mafisadi, maana kimelazimika kumtumia Rais Kikwete kumpigia magoti mmoja wao, Rostam Azizi, ili akisaidie kushinda.

Na kama kitashindwa, makada wanaorusha tuhuma dhidi ya mafisadi, watapata wakati mgumu kwa kuwa ndio waliosababisha Rostam kujiuzulu ubunge wa Igunga na kushindwa kwa CCM kutaonyesha nguvu ya watu walewale wanaosemekana wanakichafua chama.

Hata kauli za Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, na Rais mstaafu Benjamin Mkapa, kumsifia Rostam katika mkutano wa uzinduzi wiki iliyopita, ni kitanzi kingine kwa CCM inayojidai inawatosa kina Rostam kwa ufisadi wao.

Tanzania Daima

mipango myema
 
Katika moja ya hotuba zake mahili marehemu Baba wa Taifa, alisema, ukizoea kula nyama za watu. basi dhambi hiyo itakuandama mpaka kwa vizazi vyako. Ikiwa kweli kama CCM wali Mkolimba Mzee Kolimba, basi dhambi hiyo itawakolimba wote mpaka na vizazi vyao. Naona haya ndo yanayotokea sasa hapa nchini.
 
Chama cha Mapinduzi CCM kimeahirisha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, kilichotarajiwa kufanyika mwezi huu mjini Dodoma, kwa ajili ya utekelezaji wa dhana ya kuvuana magamba, inayowalenga makada wawili, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.

Duru za siasa kutoka ndani ya CCM zinasema kikao hicho kinaweza kumezwa pia na matokeo ya uchaguzi wa Igunga, kwa kutegemea kama CCM kinashinda au kinashindwa.

Wachambuzi wa siasa wanasema kama CCM itaibuka kidedea, utakuwa wakati mgumu kwa chama hicho kuendelea kuwatuhumu makada wanaoitwa mafisadi, maana kimelazimika kumtumia Rais Kikwete kumpigia magoti mmoja wao, Rostam Azizi, ili akisaidie kushinda.

Na kama kitashindwa, makada wanaorusha tuhuma dhidi ya mafisadi, watapata wakati mgumu kwa kuwa ndio waliosababisha Rostam kujiuzulu ubunge wa Igunga na kushindwa kwa CCM kutaonyesha nguvu ya watu walewale wanaosemekana wanakichafua chama.

Hata kauli za Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, na Rais mstaafu Benjamin Mkapa, kumsifia Rostam katika mkutano wa uzinduzi wiki iliyopita, ni kitanzi kingine kwa CCM inayojidai inawatosa kina Rostam kwa ufisadi wao.

Tanzania Daima

Hiyo source ya information ni very doubtful as usual!
 
Back
Top Bottom