Wadau wa JF,Poleni na majukumuu ya kuleta mapinduzi ya kifikra katika jamii.
Nimeona nami niwashilikishe hili japa bado mi mchanga katika siasa lakin kuna jambo nikifikiria linaniuma na ningependa mnijulishe kwa ufupi-
Je,ni halali kwa mtu ambaye hana hata Certificate ya Primary kuingia Bungeni et kisa yupo CCM?.
Jimbo la Mhambwe lililopo Kibondo/Kigoma mgombea wake wa Ubunge kupitia CCM hakufanikiwa kumaliza darasa la Saba! ameishia darasa la Sita ila kwenye kura za maoni amepita kidedea na kuwa mshindi kupitia CCM!.Wananchi wamechanganyikiwa wakihofu kuwa endapo watamchagua hatofanya lolote kwa kuwa uwezo wa kujieleza ni mdogo na pia hatokua na confidence ya kusimama Bungeni kwa kuwa yeye ni darasa la sita!
Hii et imemsababisha Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo-Arcado D.Ntagazwa kuwaonea huruma wakazi wa Jimbo hilo na kuamua Kugombea Ubunge kwa Tiketi ya CHADEMA,akiahidi et kuwaletea maendeleo!
Lakini Je,Ntagazwa ambaye amekaa Bungeni kwa zaidi ya Miaka 20 akiwa CCM na hakufanya lolote katika Jimbo hilo ataleta Mapindizi yoyote kwa sababu yupo CHADEMA?.
Wadau naombeni ushauri kuhusu Jimbo hilo hatuoni Tumchague nan kwani hakuna hata mmoja kati yao anayefaa!!
Asanteni!
Nimeona nami niwashilikishe hili japa bado mi mchanga katika siasa lakin kuna jambo nikifikiria linaniuma na ningependa mnijulishe kwa ufupi-
Je,ni halali kwa mtu ambaye hana hata Certificate ya Primary kuingia Bungeni et kisa yupo CCM?.
Jimbo la Mhambwe lililopo Kibondo/Kigoma mgombea wake wa Ubunge kupitia CCM hakufanikiwa kumaliza darasa la Saba! ameishia darasa la Sita ila kwenye kura za maoni amepita kidedea na kuwa mshindi kupitia CCM!.Wananchi wamechanganyikiwa wakihofu kuwa endapo watamchagua hatofanya lolote kwa kuwa uwezo wa kujieleza ni mdogo na pia hatokua na confidence ya kusimama Bungeni kwa kuwa yeye ni darasa la sita!
Hii et imemsababisha Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo-Arcado D.Ntagazwa kuwaonea huruma wakazi wa Jimbo hilo na kuamua Kugombea Ubunge kwa Tiketi ya CHADEMA,akiahidi et kuwaletea maendeleo!
Lakini Je,Ntagazwa ambaye amekaa Bungeni kwa zaidi ya Miaka 20 akiwa CCM na hakufanya lolote katika Jimbo hilo ataleta Mapindizi yoyote kwa sababu yupo CHADEMA?.
Wadau naombeni ushauri kuhusu Jimbo hilo hatuoni Tumchague nan kwani hakuna hata mmoja kati yao anayefaa!!
Asanteni!