Kwa nini ujumlishe za CUF na Chadema na si CUF na wenziwao CCM! Kumbuka CUF wapo kuhakikisha Chadema haifanikiwi, kwao heri mshindi awe CCM.
Kwanini isiwe kwamba Chadema iko kuhahakisha CUF haifanikiwi, kwao heri CCM awe mshindi..thinking loud
Kwa nini ujumlishe za CUF na Chadema na si CUF na wenziwao CCM! Kumbuka CUF wapo kuhakikisha Chadema haifanikiwi, kwao heri mshindi awe CCM.
jaziba na maombi mkuu haviendi pamoja!huku kumejaa mimtu mise""""ng na aki ya mungu namuomba sana mungu mipango ya ccm kutuuza ifanikiwe na tuuzwe bure ili tuondoke uku na njaa zetu tukafie mbele uko tuachane na maisha ya kinafiki.
Magufuli katutukana na katupandishia bei kwa niaba ya mafisadi wa ccm mimtu ya uku si ya action inaishia kuchekacheka tu km mimal:::ya ya ohio. Pambaaaaaaaaaaaaffffffffffff sana...
Eh mungu pokea maombi aya yetu ya kuuzwa uku kigamboni......
Kwanini isiwe kwamba Chadema iko kuhahakisha CUF haifanikiwi, kwao heri CCM awe mshindi..thinking loud
mkuu hi yako haipo hv unajua kuwa ccm na cuf ndo wanaongoza nchi hii, au umesahau kuwa mnaserikali ya umoja zanzibar!
Kwanini isiwe kwamba Chadema iko kuhahakisha CUF haifanikiwi, kwao heri CCM awe mshindi..thinking loud
Haya ni matokeo tuliyakusanya chadema, bado hayajathibitishwa na kutangazwa na msimamizi wa uchaguzi.
1.Mathew Suleiman Luwongo(ccm) - 1198
2.Isaya Mwita Charles(Chadema) - 802
3.Ali Juma Ali(cuf) - 731
Jana maalim sultan seif sharif hamad amefunga kampeni za cuf kwa kutumia muda wake mwingi kuishambulia chadema na kuisifia ccm. Sasahivi wafuasi wa cuf wameungana na wale wa ccm kusherekea ushindi.
Ni aibu kwa cuf walioshinda 2010 kukubali kupoteza uongozi wao kwa ccm bila kuonyesha umuhimu wao wa kutetea kiti hicho.
vijibweni makanisa ni machache sana.
..huyo jamaa wa CUF ndiyo amewaharibia.
..yaani hata sijui kwanini CUF wanagombea huku Tanganyika.
Aisee? very funny you guys
Adui wenu ni CUF na siyo CCM?
Aisee? very funny you guys
Adui wenu ni CUF na siyo CCM?