Tushangileeee, ila tujiandae na kulia pia. Mimi mpaka sasa hivi siamini kama sisiemu watawatangaza CHADEMA washindi. Hilo Msahau si mnajua statistics zao kuwa 80% ya watanzania wapo vijijini na maana hiyo ni kwamba 80% ya wanabusanda wapo vijijini hii strategy wapinzani walijisahau muda mrefu kuwa CCM ina overstate population vijijini na ku understate mijini.
Matokeo rasmi ni kwamba CCM itakuwa imeshinda. Mimi bado sijaamini mpaka CCM(kupitia kada wao msimamizi wa chaguzi) watangaze kuwa CHADEMA Imashinda
Matokeo rasmi ni kwamba CCM itakuwa imeshinda. Mimi bado sijaamini mpaka CCM(kupitia kada wao msimamizi wa chaguzi) watangaze kuwa CHADEMA Imashinda