Bado Kidogo 2015
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 207
- 78
Kutoka jikoni, kuna tetesi Chama cha Mapinduzi kimeanza kuweweseka na kasi ya CDM kila kukicha hasa operation zake ambazo zimeonekana kuwa na uamusho mkubwa sana wa wananchi na kukiweka chama hicho msambweni!!!!
Maafisa usalama wanahaha kutafuta njia mujalabi itayoiyumbisha CDM lakini taasisi hiyo imegundua wananchi ni wepesi sana wa kusameheme makosa yanayofanywa na wapinzani hasa CDM na wepesi wa kulaumu na kuilaani serikali kama haijafanya kitu toka uhuru vile!!!!
Jambo hilo linamuumiza mkuu wa kaya asijue nini kifanyike ili kukinusuru chama chake ambacho kimegubikwa na migogoro mikubwa ambayo suluhu inaonekana ipo mbali kupatikana!!!
Mshambenga wangu akazidi kunyetisha, endapo mkutano wa kesho utafanikiwa angalau kwa 75% basi siku za usoni vibali vya vyama hasa CDM vitakuwa vigumu sana kutoka kwa kisingizio cha sababu za kiintelejensia!!
Wakuu nimeamua niwapakulie udaku huo ambao ni wa moto kabisa ni kwa kadri ya urefu wa kamba yangu.
Maafisa usalama wanahaha kutafuta njia mujalabi itayoiyumbisha CDM lakini taasisi hiyo imegundua wananchi ni wepesi sana wa kusameheme makosa yanayofanywa na wapinzani hasa CDM na wepesi wa kulaumu na kuilaani serikali kama haijafanya kitu toka uhuru vile!!!!
Jambo hilo linamuumiza mkuu wa kaya asijue nini kifanyike ili kukinusuru chama chake ambacho kimegubikwa na migogoro mikubwa ambayo suluhu inaonekana ipo mbali kupatikana!!!
Mshambenga wangu akazidi kunyetisha, endapo mkutano wa kesho utafanikiwa angalau kwa 75% basi siku za usoni vibali vya vyama hasa CDM vitakuwa vigumu sana kutoka kwa kisingizio cha sababu za kiintelejensia!!
Wakuu nimeamua niwapakulie udaku huo ambao ni wa moto kabisa ni kwa kadri ya urefu wa kamba yangu.