CCM yamwaga matusi Arumeru

Kumbe siyo shoga? hebu tukumbushe Lema aliyasema maneno haya akiwa kwenye mkutano upi, ulifanyika lini saa ngapi? na alisema maneno gani? nimekuwepo kwenye mikutano mingi sana ya chadema lakini sija wahi kusikia akiasema Sioi ni Shoga...Ila kuna wimbo huwa anaupenda sana kuuimba" Mtoto huyu vipi, hashughuliki, mtoto siyo riziki".....maneno haya yako kwenye wimbo mmoja wa Solo Thang

Chadema mwenzeko Ulimbo kaisha kujibu.

Ebu tutajie hao matusi mnayolalamikia tuyapime kama kweli matusi.
 
Pale hakuna sera ni matusi mwanzo mwisho mkuu yaani kama unamtoto/Mke/dada usithubutu kumruhusu akaenda kwenye mkutano wa CCM
Mke na dada ni HATARI zaidi kwani kuna jamaa linaitwa Mwigulu Nchemba ni hatari sana, linaKULIA mkeo hivihvi, muulize kada wa Igunga. Jamaa sasa lina style mpya ya kulala na midume minne...

Huu mpelampela wanaopelekwa CCM wanatamani yule mtoa roho Israel wamfunge gavana asimchukue mbunge wao tena hadi 2015
 
Kwanini lakini kila siku siasa zetu ziwe kashfa na matusi. Kwanini jamani. Hivi hatuwezi kufanya siasa za kistaarabu za kumwaga sera tu. Ni lini siye Watanganyika tutakomboka na ghiliba za wanasiasa hawa uchwara. Narudia sipendi tena sipendi siasa za majitaka ambazo hazimsaidii mlalahoi wa nji hii.Tujirekebishe
 
Helkopta haikupita pale kwa bahati mbaya ulikuwa ni uchokonozi wa kisiasa.


Tanzania Daima ni gazeti la upande mmoja wa chadema habari zake zina vionjo vya mashaka



Matusi ni moja ya siasa ya vyama vyote hakuna jipya
Wewe hukuwepo kwenye tukio, kitu gani kinakufanya utangaze ujinga wako huu?
 
Katika hali isiyo ya kawaida mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi ( CCM ) Sioi Sumari ulitawaliwa na maneno ya matusi na vijembe dhidi ya viongozi wa CHADEMA.
Hali hiyo ilijitokeza jana wakati mgombea wa CCM , Sioi Sumari, alipokuwa akihutubia jukwaani aliporwa kipaza sauti na Meneja wa Kampeni hizo, Mwigulu Mchemba, ambaye alianza kumshambulia Katibu Mkuu wa CHADEMA , Dk. Willibrod Slaa kwa matusi akimwita kichaa.
Hatua hiyo ilitokana na kitendo cha helikopta ya CHADEMA kupita juu kwa mbali na ulipokuwa ukifanyika mkutano wa CCM, na kusababisha wananchi wengi waliokuwa kwenye mkutano huo kushangilia kwa kutumia salamu ya CHADEMA ya “Peoples Power” huku wakionyesha vidole viwili juu.
Hata hivyo ilibainika baadaye kuwa waliokuwa ndani ya ndege hiyo ni Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe , mgombea wa CHADEMA, Nassari, na kiongozi wa kampeni hizo Vicent Nyerere ambao walikuwa wakielekea kwenye mkutano wao wa mwisho eneo la Maji ya Chai.
Naye mbunge wa Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani aliwalalamikia makada wa CHADEMA kwa kumsakama kuwa ni mganga wa kienyeji wakati yeye ni muumini mzuri wa Kanisa la Anglikana.
Source: Tanzania daima 27/03/2012

Mbona jamaa ni mtata kila pahali. Hao waanglikana anawajua? Wale wanaoana ma men kwa mamen.........bado wewe ni mganga wa Sioi.............na madunguli yake........Shetani kila mahali loooooooooohhh. Chungeni sana Chadema
 
Back
Top Bottom