Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
- Thread starter
- #61
GeniusBrain karibu, naona umemaliza kifungo!CRAAAAAAAAAAAAAAAAAP hakuna kitu muda huu matumbo yanawauma naona mko busy kuleta uongo wa kila aina, ila ikifika saa 6 mchana na kuhara sasa mtaanza, na mkutano ukiisha saa 12 mnapelekwa na hospitali kuongezewa dripu kwani maji yatakuwa yamewaishia mwilini, na msipo wahiwa ni kifo kabisa.
Last edited by a moderator: