CCM yamwaga Mamilioni kuivaa CHADEMA; Watu wasombwa kwa malori

CRAAAAAAAAAAAAAAAAAP hakuna kitu muda huu matumbo yanawauma naona mko busy kuleta uongo wa kila aina, ila ikifika saa 6 mchana na kuhara sasa mtaanza, na mkutano ukiisha saa 12 mnapelekwa na hospitali kuongezewa dripu kwani maji yatakuwa yamewaishia mwilini, na msipo wahiwa ni kifo kabisa.

GeniusBrain karibu, naona umemaliza kifungo!
 
Last edited by a moderator:
wenye akili wanafahamu ccm ni chama kikubwa huwezi linganisha na chadema.
 
Utamaliza maneno yote leo, ila kuchinjwa kuko pale pale


Kwamtindo wa malori, wasanii wa bongo flavor,T-shirt kanga na kofia ni lazima mtu achinjwe.wapo wengi wasiokuwa na khanga kofia na t-shirt so ni lazima waende wakapatiwe hivyo vyote.
 
wenye akili wanafahamu ccm ni chama kikubwa huwezi linganisha na chadema.

Na wenye akili kabisa wanafahamu CCM ni chama cha waizi huwezi linganisha na chama cha wazalendo CHADEMA
 
Waulizeni viongozi wenu ruzuku wanapeleka wapi? Au ndio wanazotumia kujilipa posho na kujengea mahawala zao majumba? Chama kinashindwaje kuwabeba wachaga kutoka kimara hadi jangwani lakini kiweze kumpa mkataba wa kifisadi Josephine yule hawala wa Slaa?
Nduka, We lazima unakesi na baraza la mitihani .....!!
 
kila la kheri bwana ngoja mkutano umalizike tutaoa tathmini kama nguvu iliyo tumika italingana na matokeo yake
 
Kuna tatizo gani wanachama wa CCM wakipatiwa usafiri kwenda kwenye mikutano ya hadhara? Mbona ni kawaida sana mashabiki kutoka Karatu na Moshi kuletwa na mabasi mjini Arusha kwenye mikutano ya hadhara ya CDM! nendeni Jangwani mkatuwakilishe halafu mtupe habari za maana kwenye toleo la kesho.
 
Nimeona jina la Kinana kwenye list ya watu watakaohutubia leo Jangwani. Kama ni kweli basi nategemea Kinana atatoa tathmini ya biashara ya meno ya tembo pamoja na usafirishaji wa wanyama hai.
 
attachment.php
maskini baba/mama/kaka/dada zangu hawa..!
natamani wangeijua kweli ili kweli iwaweke huru.
 
Kama wewe unavyolalamika na malori...kuna thread zaidi ya 10 zote za Jangwani.

Wenzako wanalalamika kwamba thread zao zinaunganishwa kwenye thread zingine!
 
tatzo nape na ccm wamelala! m4c inavuruga akili na bado huo ni mwanzo tu!
 
Utamaliza maneno yote leo, ila kuchinjwa kuko pale pale


mimi nikiwaambia watu kuwa ccm ni chama cha mauji wana kataa, msome masaburi brain halafu kumbuka mwenyekiti wa ccm usa river alie muua kikatili mwenyekiti wa chadema kata ya usa river
 
wenye akili wanafahamu ccm ni chama kikubwa huwezi linganisha na chadema.

Kwa nini wanasomba watu na malori? Kama kweli CCM ni chama kikubwa na kama kweli kama wanajiamini waache kusomba watu na malori halafu tuone Jangwani kukoje.
 
Back
Top Bottom