CCM yampeleka LUKUVI MARA kuokoa Jahazi

mgeni wenu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
3,664
1,730
CCM wakati ikiadhimisha miaka yake 35 ya kuwepo madarakani,vita baridi imekuwa ikiendelea Mikoani kuhusu uongozi na Mbio za Urais 2015..kwa hali isiyo ya kawaida Sasa Lukuvi ndo mlezi wa Chama mkoa wa Mara kwa kuwa wanaamini yeye hana kundi kwani CHAMA hicho kinazidi kupoteza kabisa Mvuto mkoani hapa..

Sambamba na Wabunge wengine kwenda wanalaumu mitandao ya kuweka viongozi ambapo Musoma mjini wanamuandaa ROSE Kirigini kugombea ubunge 2015 hata kama hatopitishwa KURA za Maoni,pili Makongoro NYERERE anatakiwa kuondoka Madarakani kwa kuwa ameendelea kuwa Karibu sana Uongozi wa CHADEMA mkoani Mara na amekuwa akifanya nao vikao vya SIRI(kwa mujibu wa Aliyekuwa mbunge wa Musoma mjini bwana Mathayo)

Pia Wasira anatuhumiwa Kumuandaa Mwanae(Kambarage)Kugombea jimbo la Bunda kwa tiketi ya CHADEMA ambapo wanamuona kama Msaliti,huku UVCCM bunda wakimpigia Chapuo Ester Bulaya(mbunge viti maalum)

Tarime pia wana CCM wanataka Mbunge Nyambari Nyangwine asipewe tena nafasi kwa kuwa ameonekana Kupwaya na badala yake nafasi Apewe Kangoye(dc Misungwi)

Serengeti Dr Stephen Kebwe yeye tyr mtandao wa kumtoa katika Kura za Maoni unaratibiwa na mwenyekiti wa Halmashauri ya Serengeti(Ngoina) akisaidiwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya(Chandi) kuhakikisha aliyekuwa Mbunge wa Musoma Mjini kipindi kili0chopita bwana Mathayo Manyinyi anapeperusha Bendera uchaguzi ujao

Pia uenyekiti wa Mkoa(ccm) anapewa Christopher Mwita Gachuma kwa gharama yeyote ili kumdhibiti Makongoro kuingia NEC kwani amekuwa mwiba kwa Lowasa na akina Chenge.

Pia jaji werema akijiandaa Kukabiliana na Mkono Musoma Vijiji mbunge wa Rorya(Lameck Airo) yawezekaana akajivua uanachama na jimbo kubaki Wazi kwani amechoka na Majungu ya viongozi wake wa Wilaya na ametishiwa kupewa Sumu..

Hivyo kumaliza Mitafaruku wameona wamtume Lukuvi Mara akaokoe Jahazi na kurudiSha Haliya hewa vizuri kwani wanaaminiipoteza Mara watakuwa wameipoteza Tanzania..

Nawakilisha....
 
I saw him yesterday kwenye hiyo hotel ya Chandi akiwa na kikao na uongozi wa hapa. Ila Mbona Makongoro alikuwepo pia
 
Du!Hapo kwa Wassira na mwanae pamekaa vibaya.Lakini hakuna kisichowezekana kwenye siasa za Tz ukizingatia hata Tyson mwenyewe alipata kuwa mpinzani.
 
CCM wamekwisha kama wanamtegemea mtu kama Lukuvi kumaliza matatizo yao!! Wakina Makongoro hawawezi kumsikiliza Lukuvi na hata siku moja Gachuma na ufisadi wake hawezi kumshinda Makongoro kwenye uenyekiti wa Mkoa!!
 
Wacha wapambane, ccm wakimsimamisha mathayo serengeti, hata mimi nitagombea kwa chama chochote na nina uhakika kumshinda, ccm imepoteza mwelekeo serengeti. Ngoina naye fisadi tu naye kachota pesa halmashauri eti anaenda India kutibiwa, makubwa haya
 
Duuh, naona CCM sasa ni shagrabagla kupita maelezo huko kanda ya ziwa jamani si mtani tena!!!

Kama tulivyotangulia kusema wiki chache mapema mwaka huu, hivi sasa ni wazi kwamba Uchaguzi wa ndani CCM sasa chama kufa rasmi katika mikoa zaidi ya 18 kote nchini - kwa mujibu wa tathmini yetu ya siri, hili wala halina ubishi ni swala la muda tu matokeo hayo kujitokeza wazi kote nchini.

Mkuu MGENI WETU, kazi nzuri mno kuibuka na hbari za ndani mno na zile zilizoshiba kutumika zaidi ki-mkakati kutoweza Gambaz kila kona ya taifa letu hili.


CCM wakati ikiadhimisha miaka yake 35 ya kuwepo madarakani,vita baridi imekuwa ikiendelea Mikoani kuhusu uongozi na Mbio za Urais 2015..kwa hali isiyo ya kawaida Sasa Lukuvi ndo mlezi wa Chama mkoa wa Mara kwa kuwa wanaamini yeye hana kundi kwani CHAMA hicho kinazidi kupoteza kabisa Mvuto mkoani hapa..

Sambamba na Wabunge wengine kwenda wanalaumu mitandao ya kuweka viongozi ambapo Musoma mjini wanamuandaa ROSE Kirigini kugombea ubunge 2015 hata kama hatopitishwa KURA za Maoni,pili Makongoro NYERERE anatakiwa kuondoka Madarakani kwa kuwa ameendelea kuwa Karibu sana Uongozi wa CHADEMA mkoani Mara na amekuwa akifanya nao vikao vya SIRI(kwa mujibu wa Aliyekuwa mbunge wa Musoma mjini bwana Mathayo)

Pia Wasira anatuhumiwa Kumuandaa Mwanae(Kambarage)Kugombea jimbo la Bunda kwa tiketi ya CHADEMA ambapo wanamuona kama Msaliti,huku UVCCM bunda wakimpigia Chapuo Ester Bulaya(mbunge viti maalum)

Tarime pia wana CCM wanataka Mbunge Nyambari Nyangwine asipewe tena nafasi kwa kuwa ameonekana Kupwaya na badala yake nafasi Apewe Kangoye(dc Misungwi)

Serengeti Dr Stephen Kebwe yeye tyr mtandao wa kumtoa katika Kura za Maoni unaratibiwa na mwenyekiti wa Halmashauri ya Serengeti(Ngoina) akisaidiwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya(Chandi) kuhakikisha aliyekuwa Mbunge wa Musoma Mjini kipindi kili0chopita bwana Mathayo Manyinyi anapeperusha Bendera uchaguzi ujao

Pia uenyekiti wa Mkoa(ccm) anapewa Christopher Mwita Gachuma kwa gharama yeyote ili kumdhibiti Makongoro kuingia NEC kwani amekuwa mwiba kwa Lowasa na akina Chenge.

Pia jaji werema akijiandaa Kukabiliana na Mkono Musoma Vijiji mbunge wa Rorya(Lameck Airo) yawezekaana akajivua uanachama na jimbo kubaki Wazi kwani amechoka na Majungu ya viongozi wake wa Wilaya na ametishiwa kupewa Sumu..

Hivyo kumaliza Mitafaruku wameona wamtume Lukuvi Mara akaokoe Jahazi na kurudiSha Haliya hewa vizuri kwani wanaaminiipoteza Mara watakuwa wameipoteza Tanzania..

Nawakilisha....
 
lukuvi hayupo kwenye makundi au ana katabia fulani ka kihehe anajipendekeza kwa kila mtu'mkosefu wa elimu yule
 
Duh halitete sasa. Mara pia kuna sumu? Werema atamuweza kweli mkono? Werema alishasema si mwanachama wa CCM kwa hiyo atajiunga ama atagombea kupitia chama kingine. Makongoro na Wassira wote wamewahi kuwa wapinzani hivyo si ajabu kuhusishwa na upinzani kwani maji huwa hayasahau ubaridi hata yakichemshwa kiasi gani. CCM walim hezea mchezo mchafu MAthayo Manyinyi. Wengi akiwemo Mkono walimuunga mkono Vicent Nyerere ili ampige chini Manyinyi.
 
Hivi nani alitarajia siku moja CCM kugeuka Bundi nakukataliwa kwa kila kijiji na watu kuona aibu kujitambulisha nacho mithili ya maelezo hayo moto moto hapo juu toka Kanda ya Ziwa???
 
Mkakati wa mifuko mia saba(700)ya Cement iliyotolewa na Nape(ilitolewa na Gachuma na Mathayo)ni katika Harakati za Kumuondoa Makongoro Nyerere uchaguzi ujao ili kuisafisha njia ya Urais 2015..,,,,,Nape kaingia mtegoni bila kujua..
 
Hewalaaa, wakimchezea Makongoro Nyerere mbona ugali na mboga yote kumwagwa kwa wakati mmoja hata kwenye vile vitalu vichache ambamo bado harufu za kitu CCM bado ilikua ikinusika!!!

Mkakati wa mifuko mia saba(700)ya Cement iliyotolewa na Nape(ilitolewa na Gachuma na Mathayo)ni katika Harakati za Kumuondoa Makongoro Nyerere uchaguzi ujao ili kuisafisha njia ya Urais 2015..,,,,,Nape kaingia mtegoni bila kujua..
 
I saw him yesterday kwenye hiyo hotel ya Chandi akiwa na kikao na uongozi wa hapa. Ila Mbona Makongoro alikuwepo pia
hebu tuambie kuhusu mikakati ya Mathayo kugombea hapo Serengeti ni Kweli?
Na Vipi Hali ya CCM serengeti maana ndo jimbo pekee la Mara ambalo halijaonja Upinzani
 
CCM wakati ikiadhimisha miaka yake 35 ya kuwepo madarakani,vita baridi imekuwa ikiendelea Mikoani kuhusu uongozi na Mbio za Urais 2015..kwa hali isiyo ya kawaida Sasa Lukuvi ndo mlezi wa Chama mkoa wa Mara kwa kuwa wanaamini yeye hana kundi kwani CHAMA hicho kinazidi kupoteza kabisa Mvuto mkoani hapa..

Sambamba na Wabunge wengine kwenda wanalaumu mitandao ya kuweka viongozi ambapo Musoma mjini wanamuandaa ROSE Kirigini kugombea ubunge 2015 hata kama hatopitishwa KURA za Maoni,pili Makongoro NYERERE anatakiwa kuondoka Madarakani kwa kuwa ameendelea kuwa Karibu sana Uongozi wa CHADEMA mkoani Mara na amekuwa akifanya nao vikao vya SIRI(kwa mujibu wa Aliyekuwa mbunge wa Musoma mjini bwana Mathayo)

Pia Wasira anatuhumiwa Kumuandaa Mwanae(Kambarage)Kugombea jimbo la Bunda kwa tiketi ya CHADEMA ambapo wanamuona kama Msaliti,huku UVCCM bunda wakimpigia Chapuo Ester Bulaya(mbunge viti maalum)

Tarime pia wana CCM wanataka Mbunge Nyambari Nyangwine asipewe tena nafasi kwa kuwa ameonekana Kupwaya na badala yake nafasi Apewe Kangoye(dc Misungwi)

Serengeti Dr Stephen Kebwe yeye tyr mtandao wa kumtoa katika Kura za Maoni unaratibiwa na mwenyekiti wa Halmashauri ya Serengeti(Ngoina) akisaidiwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya(Chandi) kuhakikisha aliyekuwa Mbunge wa Musoma Mjini kipindi kili0chopita bwana Mathayo Manyinyi anapeperusha Bendera uchaguzi ujao

Pia uenyekiti wa Mkoa(ccm) anapewa Christopher Mwita Gachuma kwa gharama yeyote ili kumdhibiti Makongoro kuingia NEC kwani amekuwa mwiba kwa Lowasa na akina Chenge.

Pia jaji werema akijiandaa Kukabiliana na Mkono Musoma Vijiji mbunge wa Rorya(Lameck Airo) yawezekaana akajivua uanachama na jimbo kubaki Wazi kwani amechoka na Majungu ya viongozi wake wa Wilaya na ametishiwa kupewa Sumu..

Hivyo kumaliza Mitafaruku wameona wamtume Lukuvi Mara akaokoe Jahazi na kurudiSha Haliya hewa vizuri kwani wanaaminiipoteza Mara watakuwa wameipoteza Tanzania..

Nawakilisha....

SOMA HIYO BLUE NA NYEKUNDU!
Ester Bulaya hawezi kusimama na Kambarage hata kidogo!
Kambarage Wasira ni kijana sharp,na muelewa hawezi kubebwa ana uwezo wa kusimama mwenyewe hata bila baba yake.
Pia ni mahili wa kujenga HOJA kuliko Ester Bulaya, huwezi kuwalinganisha, ni sawa na Obama na Vicent Nyerere(Musoma Mjini).
Ester kwa Kambarage ANAPWAYA mara 10000.
 
ccm imepasuka ,imepwaya , inanuka na inaumwa kansa ya uongozi ! simuoni wa kuzuia hali hiyo ! si Kikwete wala Lowassa ! chama kipasuka na kwakweli ni kwa mapenzi 2012
 
kaeni sawa mshuhudie vituko hasa mkoa wa mara,huko serengeti ndo usiseme,chandi anajiita leader maker or rostam wa serengeti,baada ya kumleta huyo mtalii anayeitwa kebwe,ambaye kwa tafsili ya huko ni mnyama nuksi sasa anjiandaa kumleta yule kilaza mathayo?wamekwiba mihela na john ng'oina na sa hivi wanazuga ooh sijui figo zimefail cjui nini,****** yao,
 
Duh halitete sasa. Mara pia kuna sumu? Werema atamuweza kweli mkono? Werema alishasema si mwanachama wa CCM kwa hiyo atajiunga ama atagombea kupitia chama kingine. Makongoro na Wassira wote wamewahi kuwa wapinzani hivyo si ajabu kuhusishwa na upinzani kwani maji huwa hayasahau ubaridi hata yakichemshwa kiasi gani. CCM walim hezea mchezo mchafu MAthayo Manyinyi. Wengi akiwemo Mkono walimuunga mkono Vicent Nyerere ili ampige chini Manyinyi.
Mkono hata akisimama na jiwe Musoma Rural anapigwa chini, Watu wanaosimama na mkono wana njaa, Musoma rural kuna madiwana hadi wa Chausta.
 
hebu tuambie kuhusu mikakati ya Mathayo kugombea hapo Serengeti ni Kweli?
Na Vipi Hali ya CCM serengeti maana ndo jimbo pekee la Mara ambalo halijaonja Upinzani
Mkuu,
Swala la Mathayo kugombea hapa Serengeti ni dhahiri na sasa amewekeza huku maeneo ya Park Nyigoti na mipango undercover inaendelea lakini wakijiroga wamlete huyo killaza hakika ndiyo mwisho wao. Watu wamejipanga na tuko chonjo sana hapa, Mtu kama Chandi hawezi kuwa King maker hapa, hana ushawishi wowote katika jamii, alichonacho yeye ni pesa na wazee wa kimila basi, na vijana sasa hivi hawategemei mawazo ya wazee wa kimila kama huko nyuma.

John Ng'oina ni umafia tu ndio unamsaidia na BTW anaumwa sana na nafikiri yuko ktk sintofahamu pamoja na makamu wake....

All in all Revolution is on Progress...
 
Unajua kama elimu yako ndo hivyo tena na madaraka unataka lazima upige majungu. Ila namsikitikia sana Lukuvi cjui 2015 atakimbilia kujipendekeza kwa nani
 
chuki nichukie nchi yangu niachie,una njaa vibaya c wakupeleke serengeti wakulishe nyumbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom