Ukimsoma Makamba ndio unaweza kuelewa ni kiasi gani viongozi wetu wana ufinyu wa kufikiri kwa kiasi gani.. Kisha tunashangaa kwa nini nchi yetu bado maskini..
Sikutegemea kabisa kusoma majibu hayo ya Makamba, na hakika inaonyesha wazi Makamba na chama CCM wanaamini kwamba sii kazi ya wananchi kuhoji na kuchagua mgombea wao bali ni kazi ya chama kuamua wao watamweka nani kugombea..Anashindwa kuelewa kwamba Mdahalo ni matakwa ya wananchi kwa vyama vya siasa kufuata ili wagombea wao wapate kuchaguliwa na sii maamuzi ya vyama vya kisiasa kutoa maamuzi ya kushiriki au kutoshiriki..
Kitendo cha Makamaba kuagiza wagombea wake kutoshiriki mdahalo wowote ni utovu wa nidhamu kwa kiongozi huyo kwa wananchi wake. Haina tofauti kabisa na yale maneno ya Jk alipowaambia wafanyakazi hahitaji kura zao. Naomba vyombo vya habari vizungumzie sana maamuzi haya ya Makamba ambaye anaonekana kufikiria kwamba CCM ndio mtawala yuko juu ya maamuzi yote hata ktk maswala muhimu kama ya uchaguzi.
Sikutegemea kabisa kusoma majibu hayo ya Makamba, na hakika inaonyesha wazi Makamba na chama CCM wanaamini kwamba sii kazi ya wananchi kuhoji na kuchagua mgombea wao bali ni kazi ya chama kuamua wao watamweka nani kugombea..Anashindwa kuelewa kwamba Mdahalo ni matakwa ya wananchi kwa vyama vya siasa kufuata ili wagombea wao wapate kuchaguliwa na sii maamuzi ya vyama vya kisiasa kutoa maamuzi ya kushiriki au kutoshiriki..
Kitendo cha Makamaba kuagiza wagombea wake kutoshiriki mdahalo wowote ni utovu wa nidhamu kwa kiongozi huyo kwa wananchi wake. Haina tofauti kabisa na yale maneno ya Jk alipowaambia wafanyakazi hahitaji kura zao. Naomba vyombo vya habari vizungumzie sana maamuzi haya ya Makamba ambaye anaonekana kufikiria kwamba CCM ndio mtawala yuko juu ya maamuzi yote hata ktk maswala muhimu kama ya uchaguzi.