- Thread starter
- #61
is this all u have got in ur mind....?UJINGA MTUPU na GIZA LA UFISADI NDILO LINAWATAWALA WATU WA CCM, nafikiri kama anadhani kuwa hao watu CHADEMA wametajwa wasio sahihi au kwa upendeleo naye ANGETAJA ANAOJUA NI CDM au wapinzani wengine.
Imeandikwa "watu wangu hufa kwa kukosa maarifa",
kwanini NAPE NNAUYE asitaje WALA RUSHWA WA CDM?
Nani atasikia KILIO chako NAPE hata kama ni KWELI kuwa wamehongwna a lakini unashindwa kuthibitisha tuhuma zao.....PUMBAVU MWANADAMU USIYEJUA WAKATI WAKO na ULAANIWE wewe usiyejua MAJIRA yako.