CCM yaishika Pabaya CHADEMA-RAI

hivi rai ni nini vile!.......... ahaa nimekumbuka nigazetiiiiii, giving bado lipo.
 
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama

heheeeee....nyooo endelea baba meru united imeichapa barca mzee hapo sasa kule hamna wanyaturu wapuzi kama wa jimbo lako
 
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama

Sijui kaka Mwigulu una hali gani huko uliko leo ha hasa ukisoma hii sredi yako
 
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama

Bwana Mwigulu Nchemba, bado unaweza kurudia hayo maneno tena? Tarehe kaka imefika na matokeo yametangazwa, au bado hujapata Taarifa?

Tulishtukia deal lenu, kupitia gazeti hili la ccm mlitaka kuanda mazingira ya kuiba kura, Chadema ikaona ifanye doria kwa Chopper ili waone kila kitu kinachoendelea huku chini, ikala kwenu, anyway, hizo ndio salamu zenu toka kwa Watanzania hapo 2015.
 
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama

Really?????????????Barcelona na Meru Utd sio?mshindi anakuwa nani Barcelona au Meru Utd?
 
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama
Yaani Mwigulu wewe ni sifuri aisee kwa kufikiria!!!! AYA SASA CDM WAMESHINDA SIJUI UTASEMAJE!!! WEWE KUWA MBUNGE WA SINGIDA KULE SHAMBA NDO AONA UMEFIKA SIO!! MBONA MWISHO WAKO NA WEWE UNAKUJA VERY SOON! ACHA KUFIKIRIA KWA KUTUMIA MASABURI KIJANA!!!!!!!!!!!
 
Hili gazeti sitasoma hata heading zake....nyambafu...ugumu wa maisha yetu watz ni matokeo ya siasa-ulafi za ccm..
 
Siku ya kwanza ya juma asubuhi na mapema, jogoo akawika, chadema kura 32,0000 na wale wafuasi wa chadema 22000 walitokea wapi?
 
Vipi toleo la leo la Rai linasemaje baada ya matokeo ya Arumeru?
 
Back
Top Bottom