Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Taarifa ambazo zimefika hivi punde, CCM kupitia UVCCM ikiratibiwa na James Millya (Mwenyekiti-UVCCM, Mkoa Arusha) ameingiza majasusi ambao wameletwa kwa kazi kuu ya kuhakikisha vurugu, vipigo na fujo zinaibuliwa katika mikutano ya CHADEMA. Wanatumia gari aina ya Carina yenye rangi nyeusi. Inatumia nambari za chases!
Tayari, vijana hawa wanaratibu na kuanzisha vurugu ili uchaguzi ubadilike badala ya kuwa wa hoja bali mabavu ili wapate mwanya wa kutumia vyombo vya dola kuendelea kukandamiza upinzani.
Kwa amani na kuhakikisha haki na demokrasia inatendeka tufatilia kwa ukaribu vijana wa kukodiwa kufanya vurugu wanaoratibiwa na CCM hasa kupitia UVCCM.
Tayari, vijana hawa wanaratibu na kuanzisha vurugu ili uchaguzi ubadilike badala ya kuwa wa hoja bali mabavu ili wapate mwanya wa kutumia vyombo vya dola kuendelea kukandamiza upinzani.
Kwa amani na kuhakikisha haki na demokrasia inatendeka tufatilia kwa ukaribu vijana wa kukodiwa kufanya vurugu wanaoratibiwa na CCM hasa kupitia UVCCM.