Na mzimu wa Kolimba je???Mzimu wa Chagulani na Matata wazidi kuitafuna Chadema.
dr slaa vipi hajazimia kwa aibu?
dr slaa vipi hajazimia kwa aibu?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...pinzani-yana-ukweli-polisi-wanatumiwa-12.htmlDr Slaa jana si alifunga barabara za Mwanza.
Acha kuwadanganya watu wewe IDUDUMLWA....Kwanza ratio uliyoitoa haipo yaani ya jumla ya kula 19....CCM wana madiwani 6,cuf 2,cdm 8 jumla na mbunge.
ccm imeanza kutoa kipigo kwa cdm?
Kama ninkweli tungoje ya halmashauri izo mbili ie Ilemela na Nyamagana
dr slaa vipi hajazimia kwa aibu?
Mbona hii habari haieleweki
Haya nenda kale daku na tende sasa hivi kwani kazi umeshaimaliza.CUF imewatia adabu chadema kwa matusi yao dhidi ya CUF, watajifunza na tabia yao ya kutukana vyama vingine.