Nape ndio anatakiwa awe ofisa habari badala ya katibu mwenezi, Hili neno mwenezi limeshapitwa na wakati, hili lilikuwa na maana enzi za telegram. hapa wachague jina sahihi watakalopenda kutumia either PR au Ofisa habari, kitengo hichi hakiwezi kuwa na watu wote hawa wawili. BIG NO.
Nakubaliana na wewe Mkuu na niseme hawa ccm waishukuru JF na waendelee kusoma hoja zenye mashiko maana kuwa na kitu kinaitwa KITENGO CHA PROPAGANDA inabidi uwe na kichwa cha mwendawazimu hivi, but again ccm sio wazima vichwani are they?
hapa tusaidiane zaidi nini tofauti ya Nape na Tambwe?
Tambwe hiza anangojea kuteuliwa kuwa DC kuchukua nafasi ya nape wana akili sana hawa
Hao ndio magamba bwana ukisikia wengine ni wa kuchonga, wewe unashangaa hilo kwa nini usishangae la kamati kuu kulalamikia bei ya mafuta ya taa, wakati mwenyekiti wa kamati kuu ni Rais na mwenyekiti wa baraza la mawaziri ni Rais huyo huyo, hauwoni kama haya ndio maajabu zaidi?Mkuu sasa hapa tena itakuwaje? Mimi nimezoea kuona hawa PRs au Ofisa Habari huwa ni watu wenye weledi juu ya mambo ya uandishi wa habari ama kwa kifupi wanakuwa wamesomea uandishi wa habari (Professionals). Sasa huyu Ndg. yetu Nape Mozes Nnauye ana weledi wa uandishi wa habari kweli?
Mkuu hii Public Relations na Katibu Mwenezi itakuwaje hakutakuwa na mgongano?
Hatimaye ccm imekifuta rasmi kitengo cha propaganda na kubuni kitengo kipya ambacho kitajulikana kama kitengo cha mawasiliano ya Umma. ( Public Relation ) taarifa hii ni kwa mujibu wa ofisa habari wa CCM leo kwa waandishi wa Habari, hii maana yake ni kwamba Tambwe Hiza sasa atafute shughuli ya kuganga njaa kwani wapo vija na wenye elimu nzuri ndani ya CCM wanaostahili kupewa nafasi hii ya PR.
My Take: Pamoja sikubaliani na CCM kwa mambo mengi lakini kwenye hili nawapa hongera maana hakuna mtu aliekuwa anakerwa na neno propaganda kama mimi, na ninaamini Nape ametoa mchango mkubwa kufikiwa uamuzi huu, maana niliwahi kumshauri hapa hapa JF kwamba aongee na magamba wenzake wafute hicho kitengo.
Hii mwake mwake sanaaa huyu jamaa namwombea njaa kali hadi ajute,mtu yeyote msaliti,ndumila kuwili hafai,tambwe aliwahi kusema tena kwenye mkutano wa hadhara kuwa kuliko kurudi ccm bora kulala na mama yake.akala matapishi yake akidhani kwenda ccm kutamwondolea njaa aliyonayo.hayawi hayawi sasa yamekuwa,kitengo hichooooo! KIMEONDOKA.Atajijua arudi tanga tu akalime machungwa.
Hao ndio magamba bwana ukisikia wengine ni wa kuchonga, wewe unashangaa hilo kwa nini usishangae la kamati kuu kulalamikia bei ya mafuta ya taa, wakati mwenyekiti wa kamati kuu ni Rais na mwenyekiti wa baraza la mawaziri ni Rais huyo huyo, hauwoni kama haya ndio maajabu zaidi?
My Take: Pamoja sikubaliani na CCM kwa mambo mengi lakini kwenye hili nawapa hongera maana hakuna mtu aliekuwa anakerwa na neno propaganda kama mimi, na ninaamini Nape ametoa mchango mkubwa kufikiwa uamuzi huu, maana niliwahi kumshauri hapa hapa JF kwamba aongee na magamba wenzake wafute hicho kitengo.
<br />TABWE hiza na Nape baba mmoja. Hili linaweza kuthibitishwa na hatua ya Nape ya kutomfahamu baba yake halsii.
<br />
<br />
Unamaanisha mzee Moses Nnaue si baba halisi Nape?