Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Leo na jana magazeti ya tz na blogs mbalimbali zimeripoti kuwa Nape Nauye ametanagza rasmi kuwa kitengo cha Proganda cha CCM kimefutwa na kuanzisha kitengo chas Mawasiliano kwa Umma na kuwa kitafanyiwa marakebisho makubwa.
Hivyo yule CCM propaganda man Tambwe Izza amekula ya chuya !
Labda atafute kazi redio uhuru na nyinginezo.
Habari ndiyo hiyo
Hivyo yule CCM propaganda man Tambwe Izza amekula ya chuya !
Labda atafute kazi redio uhuru na nyinginezo.
Habari ndiyo hiyo