William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkuu wewe endelea kujidanganya unajua tu.
Mkuu Kakulwa,
Please naomba uache hizi, maana sasa hivi utaambiwa unaniogopa, na unaniabudu, na kwamba mimi ni Mungu, We do not need that, tafadhali naomba muache jamaa, tuendelee na kuhabarishana,
Kwa sasa nimechoka sana, naingia kulala lakini soon in three hours nitakwua na more uptodates dataz.
Let it go kusudi mjadala usifungwe ndio nia ya jamaa, maana ana hasira topic yake kufungwa ile ya kudai eti forum ianze kufuta topic za pororjo, wewe hujaiona kule members only eti yeye ana yuwezow a kujua topic mbpovu na nzuri kwa taifa, kwahiyo mkuu tuwe na busara, tusije tukageuka mawe na ku-lose the focus, Nitakupenyezea soon the dataz.
Mkuu Kakulwa Ubarikiwe, maana wewe ni mmoja wa wachahce wenye sura moja tu, sio kama wenzangu wengi wenye sura mbili.