ccm na watu wenu mbumbumbu!!!!!!!!!!!!, sheria za kanisa ziko wazi na haziangalii nani ni nani tunamifano ya maaskofu lukanima, koda na wengine. hypolitius matete ni mseminari wa zamani amesoma kaengesa seminary anajua kumkashifu roho mtakatifu adhabu yake ni ipi. sasa matete ni zaidi ya maaskofu hao na orodha ndefu ya mapadre waliosimamishwa. tujifunze kusema kweli wamekosa waombe msamaha sio kuomba huruma ya watanzania kwa kuwadanganya. kanisa katoliki sumbawanga endeleeni na msimamo huo huo. papa benedto 16 alipopotoka katika kauli aliomba msamaha kwa waislam duniani.