Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
- Thread starter
- #21
Mkuu Jogi, kweli mimi ni mzito kuelewa hivyo nimesoma mara 3 ndio kwanza naanza kuelewa ndio maana mpaka sasa sijamjibu Keil!.Pasco anapaswa asome mara tatu au nne akuelewe, si kwa ugumu wa lugha, hasha! ni kwa ukweli wa maandishi mstari kwa mstari, neno kwa neno.
kwa kuongezea mfano, Mwigulu ambaye ni mhazina wa ccm, anajidai kumuuliza pinda kuhusu mpango wa chenji ya rada, kanakwamba hajui, usitegemee huyu kijana kuyatenda matakwa ya wananchi, atatufanyia ukanumba tu, kumbe mzinzi mkubwa.