Ccm yaanza kujenga daraja la mbutu wilayani igunga - ni nini tafsiri yake

Sabayi

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
2,310
991
Awali ya Yote naipongeza Serikali kwa kuanza Kujenga hilo daraja la Mbutu ambalo ni kiunganisho muhimu sana cha mawasiliano kwa wakazi wa wilayani Igunga mwisho wa siku wananchi sio kwamba tunataka ccm,CDM,tlp au cuf bali ni maendeleo na uwajibikaji.Lakini ni kwanini limeanza kujengwa muda huu? Is it a coincidence? Au ni kujipanga kwa ccm kwenye uchaguzi wa marudio Igunga? Wakija na evidence ya walichowafanyia tayari wananchi? Je wakishindwa tena uchaguzi wa marudio kabla hilo daraja halijaisha bajeti ya kuendelea kulijenga itakuwepo? au nalo litaishia hapo hapo tukaimbiwa wimbo wa kila siku kuwa Kasungura ni kadogo hakatoshi?
 
Awali ya Yote naipongeza Serikali kwa kuanza Kujenga hilo daraja la Mbutu ambalo ni kiunganisho muhimu sana cha mawasiliano kwa wakazi wa wilayani Igunga mwisho wa siku wananchi sio kwamba tunataka ccm,CDM,tlp au cuf bali ni maendeleo na uwajibikaji.Lakini ni kwanini limeanza kujengwa muda huu? Is it a coincidence? Au ni kujipanga kwa ccm kwenye uchaguzi wa marudio Igunga? Wakija na evidence ya walichowafanyia tayari wananchi? Je wakishindwa tena uchaguzi wa marudio kabla hilo daraja halijaisha bajeti ya kuendelea kulijenga itakuwepo? au nalo litaishia hapo hapo tukaimbiwa wimbo wa kila siku kuwa Kasungura ni kadogo hakatoshi?
Waaache wajenge,hizo ni kodi zetu,na wao wana haki,lakini kumbuka watanzania Wanakula CCM wanalala CDM!
 
Daraja na lijengwe,tena limecheleweshwa sana
.
Lakini ccm wasije wakatumia uchochoro huo kama namna ya kujikampenia wapewe kura, maana attempt hiyo itakuwa to their detriment, na itawaangushia pua.
 
Wasi wasi wangu ni kuwa incase wakipigwa chini kwenye uchaguzi mdogo wanaweza wasiendelee tena kulijenga hilo daraja
 
Back
Top Bottom