Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
CCM imeanza kufanya vurugu na uharamia wa kiwango cha juu Arumeru.
Leo majira ya saa tatu asubuhi viongozi wa ccm wakiongozwa na Kingazi ambaye ni katibu wa ccm wa wilaya ya Moshi na akiambatana na Ndekubali, wamemteka mwenyekiti wa CHADEMA tawi la Magadrisho kata ya Usa river. Utekaji huo ulifanyika wakiwa na gari aina ya pick up Ford namba DFP 5481. Baada ya kumteka wakampeleka kwenye kambi kumshushia kichapo, kwa sasa mwenyekiti huyo aliokolewa na Polisi,na amepewa PF3.
Polisi pia wamemshikila Mh Msigwa mbunge wa CHADEMA kwa tuhuma za kuhusika na vurugu za jana zilizotokea jana eneo la maji ya Chai, baada ya vijana wa green guard kuwavamia CHADEMA kwenye gest waliyofikia. Katika tukio hilo gari la CCM lilivunjwa vioo vya nyuma.
Leo majira ya saa tatu asubuhi viongozi wa ccm wakiongozwa na Kingazi ambaye ni katibu wa ccm wa wilaya ya Moshi na akiambatana na Ndekubali, wamemteka mwenyekiti wa CHADEMA tawi la Magadrisho kata ya Usa river. Utekaji huo ulifanyika wakiwa na gari aina ya pick up Ford namba DFP 5481. Baada ya kumteka wakampeleka kwenye kambi kumshushia kichapo, kwa sasa mwenyekiti huyo aliokolewa na Polisi,na amepewa PF3.
Polisi pia wamemshikila Mh Msigwa mbunge wa CHADEMA kwa tuhuma za kuhusika na vurugu za jana zilizotokea jana eneo la maji ya Chai, baada ya vijana wa green guard kuwavamia CHADEMA kwenye gest waliyofikia. Katika tukio hilo gari la CCM lilivunjwa vioo vya nyuma.