zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Mnataka demokrasia, mlipiga kelele kuwa mmeibiwa kura mnaletewa demokrasia mnalalamika.
Hamna njia ya kuitoa CCM Ikulu kwa kuwa bado wengi wa viongozi wenu hawana zaidi ya ukabila na udini, Tanzania ni nchi ya watu wenye makabila tofauti na imani tofauti na wasio kabisa na dini.
Usione kundi la sehemu fulani linapigia debe sana kwa kuwa tu limemimnywa mianya yao yote ya kuwanyonya walio wengi, kumbuka hiyo ni jamii ndogo sana ya Watanzania. Nchi hatuwapi hata mfanye nini na ile mirija ndio tunaikata hivyo.
Hamna njia ya kuitoa CCM Ikulu kwa kuwa bado wengi wa viongozi wenu hawana zaidi ya ukabila na udini, Tanzania ni nchi ya watu wenye makabila tofauti na imani tofauti na wasio kabisa na dini.
Usione kundi la sehemu fulani linapigia debe sana kwa kuwa tu limemimnywa mianya yao yote ya kuwanyonya walio wengi, kumbuka hiyo ni jamii ndogo sana ya Watanzania. Nchi hatuwapi hata mfanye nini na ile mirija ndio tunaikata hivyo.