Black Jesus
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 256
- 9
Nipata bahati ya kukutana na mmoja wa makamando wa CCM kule zanzibar tuliongelea mengi kuhusu pande zote mbili za Tanzania na hali halisi ilivyo hivi sasa na huko mbele nini kinaweza kutokea, nikamuliza unakionaje chama cha chadema? alinijubu huku akionesha uso wa furahana kusema kinasikika kwa wananchi lakini pia akanionya ikiwa itatokea chadema kuingia Madarakani. wao kama CCM zanzibar wanamsimamo ni msimamo wa ccm unaotokana na itikadi ya vyama vyao viwili vyenye itikadi zinazokubaliana na ndio matokezeo ya kuzaliwa kwa CCM alimainisha Tanu na ASP