CCM ya sasa ni sawa na Nyegere

TEMILUGODA

JF-Expert Member
Feb 11, 2012
1,389
285
Ninakifananisha CCM na ndege aina ya nyegere ambaye anasifa ya kupiga kelele tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuumbele ya mpinzani.Na ukiona unampigia kelele mpinzani jua kwamba hoja zako hazina mashiko na mpinzani atakushinda.HIVI NCCR MAGEUZI hawaendi Arumeru kuchagiza ushindi wa CDM?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom