mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
ccm ya leo ya lowasa,rostam, na jk, imejaa idadi kubwa ya wezi, magaidi, mafisadi,wabinafsi, wakwepa kodi, matapeli,watu wanaopenda maisha ya chapu chapu, wavivu, na watu wasiomogopa MUNGU.ccm ni mzigo kwa taifa na laana.tunahiji chama kinachoweka maslahi ya taifa mbele na sii ya wafisadi.