Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Jamani ukweli ni kwamba Chama Cha Mapinduzi chini ya Jakaya Mrisho Kikwete kimekuwa kama Uzao wa Samaki Kambale kwani hakuna wa kumkemea mwenzake kwani Samaki Kambale wote wana Sharubu huwezi tofautisha mkubwa na mdogo,mke na mume hakika hata wakijivua gamba hakuna tofauti bado mwonekano utakuwa huo huo.