kijenge
Senior Member
- Mar 9, 2012
- 179
- 164
Ngorongoro conservation imetoa milioni mia 2 kwa ajili ya kampeni za arumeru mash ,wakati wananchi wa ngorongoro hawana hosp wa la zahanati maji na madawati shuleni. Ngorongoro conservetion ni mali ya serikali sio ya ccm ni mali ya watanzania.ewe mrunya, msekwa na maige hiyo sio mali yenu ni mali ya umma.