Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,543
Wanabodi, niko mahali nafuatilia matangazo ya moja kwa moja ya uchaguzi kupitia tv zetu ambazo zote ziko live, Mgombea wa CCM jimbo la Monduli, Edward Lowassa ameendeleza kampeni za uchaguzi kupitia
matangazo ya moja kwa moja toka Monduli.
Mzee Lowassa akihojiwa na Mtangazaji wa Channel Ten Arusha, na kuunganishwa moja kwa moja na mtangazaji wa studio akiwa live, amesema zoezi la kupiga kura, linaendelea vizuri kabisa huko Monduli.
Alipoulizwa ana maoni gani kuhusu uchaguzi, alijibu, " Naendeea kuusisitiza ule wito wetu, wananchi tuchague mafiga matatu ili CCM iibuke na ushindi wa kishindo!"
Mtangazaji akamshukuru na kumuaga.
wajameni, hii sio kampeni kweli mpaka siku ya uchaguzi?.
matangazo ya moja kwa moja toka Monduli.
Mzee Lowassa akihojiwa na Mtangazaji wa Channel Ten Arusha, na kuunganishwa moja kwa moja na mtangazaji wa studio akiwa live, amesema zoezi la kupiga kura, linaendelea vizuri kabisa huko Monduli.
Alipoulizwa ana maoni gani kuhusu uchaguzi, alijibu, " Naendeea kuusisitiza ule wito wetu, wananchi tuchague mafiga matatu ili CCM iibuke na ushindi wa kishindo!"
Mtangazaji akamshukuru na kumuaga.
wajameni, hii sio kampeni kweli mpaka siku ya uchaguzi?.