Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Ni kata ya Kirumba jijini Mwanza wiki iliyopita siku ambayo Dr.Slaa alihutubia.Wafuasi wa CCM walimpiga na kumvunja miguu kada mmoja wa CDM na Mwingine maarufu kama RASI walimpiga na alifariki Dunia muda mfupi baada ya kufikishwa kituo cha Polisi Kirumba:Ajabu Jeshi la Polisi na Media wako kimya mpaka sasa.
Hali ya CCM ni mbaya sana huku CDM chini ya uongozi wa wabunge Wenje,Kiwia,Machemuli na madiwani wote wa CDM,bila kuwasahau BAVICHA jijini Mwanza wakiwa wamejizatiti vilivyo kuitetea kata hiyo,kampeni nizile za nyumba kwa nyumba,mtu kwa mtu,kitanda kwa kitanda na mtaa kwa mtaa.Mpaka dakika hii makamanda wanashambulia katika kitongoji cha Kabuhoro huku zomea zomea kwa mgombea wa CCM ikizidi mitaani na mpaka sasa ameamua kutembelea gari ambalo ni TITEND.Jumamosi ZITO KABWE atakuwepo kuhitimisha kampeni na ndiye aliyezindua pia kwa kishindo
Toka Kirumba Mwanza ni mimi Kamanda IDIMULWA wa JF kanda ya Ziwa.
Hali ya CCM ni mbaya sana huku CDM chini ya uongozi wa wabunge Wenje,Kiwia,Machemuli na madiwani wote wa CDM,bila kuwasahau BAVICHA jijini Mwanza wakiwa wamejizatiti vilivyo kuitetea kata hiyo,kampeni nizile za nyumba kwa nyumba,mtu kwa mtu,kitanda kwa kitanda na mtaa kwa mtaa.Mpaka dakika hii makamanda wanashambulia katika kitongoji cha Kabuhoro huku zomea zomea kwa mgombea wa CCM ikizidi mitaani na mpaka sasa ameamua kutembelea gari ambalo ni TITEND.Jumamosi ZITO KABWE atakuwepo kuhitimisha kampeni na ndiye aliyezindua pia kwa kishindo
Toka Kirumba Mwanza ni mimi Kamanda IDIMULWA wa JF kanda ya Ziwa.