Revamp
Member
- Aug 26, 2009
- 8
- 0
Sitaki kuamini kama kweli wametoa hii hela,ila kama ni kweli itakuwa dhihaka kubwa sana kwa marehemu.
Au labda mdau aliye tupa habari hii amekosea mahali,yawezekana aliye toa ni M/Kiti wa Serikali za Mtaa huko Idodi na si mchango wa chama.
Sitaki kuyashuhudia haya.
*****Natamaniee natamani eee natamani kuwa kama mtoto*****
Au labda mdau aliye tupa habari hii amekosea mahali,yawezekana aliye toa ni M/Kiti wa Serikali za Mtaa huko Idodi na si mchango wa chama.
Sitaki kuyashuhudia haya.
*****Natamaniee natamani eee natamani kuwa kama mtoto*****