Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Tukiwa bado tuna majonzi kwa wanafunzi walio ungua moto bwenini shule ya sec. Idodi, CCM wametoa mkono wa pole 70,000/= ametangaza mwenyekiti wa CCM Mkoa Iringa Jah People huku shule ya msingi Idodi wametoa 500,000/=.
Mheshimiwa Lukuvi ametoa 1,200,000/=
Mheshimiwa Prof.Msola ametoa 500,000/=
Mheshimiwa Anna Makinda ametoa 100,000/=
Walio bakia wamechangia na kufikia 500,000/=
The more Dataz
--Mh.Lukuvi amewaambia wananchi wake wasisumbuke kuanza kufyatua tofali ameaidi kutoa mil.10 kwa ajili ya ukarabati wa bweni.
--Mmiliki wa mabus ya Upendo ya Dar-Iringa na Dar-Njombe ambaye ni diwani wa Idodi aliahilisha safari za Dar na kubeba waombelezaji toka Iringa mjini kwenda Idodi kuhudhuria mazishi.
Respect wakuu
Nawakilisha.
Mheshimiwa Lukuvi ametoa 1,200,000/=
Mheshimiwa Prof.Msola ametoa 500,000/=
Mheshimiwa Anna Makinda ametoa 100,000/=
Walio bakia wamechangia na kufikia 500,000/=
The more Dataz
--Mh.Lukuvi amewaambia wananchi wake wasisumbuke kuanza kufyatua tofali ameaidi kutoa mil.10 kwa ajili ya ukarabati wa bweni.
--Mmiliki wa mabus ya Upendo ya Dar-Iringa na Dar-Njombe ambaye ni diwani wa Idodi aliahilisha safari za Dar na kubeba waombelezaji toka Iringa mjini kwenda Idodi kuhudhuria mazishi.
Respect wakuu
Nawakilisha.
Last edited: