Walikuja na swaga za nyimbo za bongo fleva uku wakiwa hawana bendera kwenye gari lao so ikawa vigumu kuwastukia mwanzo ila walipotamka CCM wanafunzi wakalisimamisha uku wakiwa wamebeba mawe wakaliamuru haraka iwezekanavyo wageuze gari na waondoke kwani mamia ya wanachuo walikuwa wameshataharuki.HTML:Jerome Kayanda: Dah ccm wamekimbizwa mbaya hapo social science cjui walikuja na swaga gani m2 mzima stil nachangaa
Source: Facebook
Peoplez!!!!!!!!
Hali ni tete mda huu kwa wana CCM kwani wengine imebidi wakimbie kwani wanazomewa na kupigwa mawe uku CDM wakiwazunguka na bendera za chadema wakiwa na mavuvuzela na hali inaonekana sio zuri kwa Wana CCM usalama wao kwani magari yanakataa kuwabeba kuogopa kupigwa mawe uku basi lililokuja kuwachukua wanafunzi wakilikimbiza wakilitaka litoke nje ya chuo.hongereni sana vijana wangu.mkiwapiga wakiwa ndani ya chuo ni ruksa hakuna wa kuwasumbua kwani wao wamekuja kufanya nini chuoni na hawaruhusiwi kufanya siasa ndani ya chuo. wakifanya CHADEMA manegement inaleta shida wakifanya ccm management ya mlacha inaona powa tu. sasa mwendo ndio huo mpaka kieleweke.
Sasa naanza kuamini kuwa udom cyo chuo cha ccm tena.