Duh, hii nimeipenda sana. Wale wanaotuita CHADEMA magwanda sijui sasa watatuitaje? Maana na wao washaiga magwanda yetu. Ndiyo maana huwa nasema CHADEMA ni chama tawala. CCM wanaelekezwa na CHADEMA nini cha kufanya.
Tangu Tanzania iingie mfumo wa vyama vingi sijapata kuona chama kinachoikimbiza serikali na chama tawala mchakamchaka kama ifanyavyo Chadema. Ile kauli mbiu ya Kikwete kwamba vyama vya upinzani ni vya msimu leo anajutia, kwani ikulu sasa kiti moto hapakaliki bora kupita root nje kupoza mapigo.
Kweli mnachiki na Nape daa! hata kama ni mzee wa pumba!? NIJUAVYO MIMI HII NI NGUO YA CHIPUKIZI YAANI ILIKUWEPO HATA KABLA YA MAGWANDA YA CHADEMA! TUMEVAA SANA KIPINDI CHA CHAMA KUSHIKA HATAMU!
Henge kwani Nape chipukizi? Au ni fasheni siku hizi kwa ambao sio chipukizi kuvaa magwanda ya chipukizi?Kweli mnachiki na Nape daa! hata kama ni mzee wa pumba!? NIJUAVYO MIMI HII NI NGUO YA CHIPUKIZI YAANI ILIKUWEPO HATA KABLA YA MAGWANDA YA CHADEMA! TUMEVAA SANA KIPINDI CHA CHAMA KUSHIKA HATAMU!
Magwanda ya Chadema ni ya kaki na ni ya mgambo! Vazi la kombati limeanza tangu enzi za TANU! Waulizeni baba zenu Mbowe,Padri Slaa na Babu yenu Mtei! Wanajua kombati imeanza siku nyingi sana! Ila magwanda ya Mgambo ni ya Chadema yana rangi ya kaki!
Tusubiri tumwone na Vasco labda siku moja naye atavaa kombati!
Peoples power kwa kweli imechukua usukani nilichoka nilipoona madereva pale Tunduma wamefunga ngumi eti peoples power walivyoongea na waziri Ndulu jamani Magwanda yanatisha