Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye
Kuanzia Uchaguzi Mkuu mwaka jana, tumeshuhudia CCM kuiga mbinu za kampeni kutoka Chadema kama kutumia Chopper (helkopta) kitu ambacho uchaguzi uliotangulia walipingana nacho.
Baada ya Uchaguzi ilani inayotekelezeka ni ya Chadema ikiwa ni pamoja na mchakacho wa Katiba mpya ya Tanzania, matatizo ya umeme, mpango wa kuondoa posho kwa watumishi waumma, viongozi wabadhilifu na kufikisha kwenye hatima ya kutangaza falsafa ya kuvuana magamba yaliyopelekea Rostam Aziz kuvua magamba yote ya CCM pamoja na Ubunge na kubakiwa na hirizi (kadi) ya chama hicho tu.
Mpya inayotoka sasa ni kuiga mvao wa Chadema kama hapo pichana Nape Mnauye ambaye amevaa magwanda ya Chadema ila tu rangi ndiyo ya CCM.
Je unataka uambiwe nini tena, maana magwanda yanakubalika, na ukitaka upokeleke kwa umma vaa magwanda, Nape kajua hilo ndo maana bila aibu kajaa tele ndani ya Magwanda ya Chadema.
Baada ya Uchaguzi ilani inayotekelezeka ni ya Chadema ikiwa ni pamoja na mchakacho wa Katiba mpya ya Tanzania, matatizo ya umeme, mpango wa kuondoa posho kwa watumishi waumma, viongozi wabadhilifu na kufikisha kwenye hatima ya kutangaza falsafa ya kuvuana magamba yaliyopelekea Rostam Aziz kuvua magamba yote ya CCM pamoja na Ubunge na kubakiwa na hirizi (kadi) ya chama hicho tu.
Mpya inayotoka sasa ni kuiga mvao wa Chadema kama hapo pichana Nape Mnauye ambaye amevaa magwanda ya Chadema ila tu rangi ndiyo ya CCM.
Je unataka uambiwe nini tena, maana magwanda yanakubalika, na ukitaka upokeleke kwa umma vaa magwanda, Nape kajua hilo ndo maana bila aibu kajaa tele ndani ya Magwanda ya Chadema.