Jambo la kulielewa ni kwamba CDM MUNGU peke yake yupo na ninyi. hakuna wa kuwashinda hata lingeletwa jeshi na vifaru vyote>1. Nimepata simu kutoka kwa makamanda walioko uwanja wa mapambano, Igunga kuwa mnamo saa mbili na nusu usiku huu, Vigogo kadhaa wa CCM walikuwa wanagawa sare na fweza kwa wanawake waliokusanywa eneo la hospitali ya wilaya ya Igunga.
2. Kumeitishwa mdahalo kati ya wagombea wa Ubunge jimbo la Igunga ... mpaka sasa mdahalo unaendelea.
Mlioko Igunga, Tunaomba picha na taarifa zaidi.
Quality