Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Safi sana! Wapi rafiki yangu Rejao??
Nilimuona jinsi alivyokuwa anaonyesha ustadi wa kukwepa viti.
Safi sana! Wapi rafiki yangu Rejao??
nilikuwepo polisi, hii taarifa ni kweli, kuna watu wawili wamejeruhiwa vibaya sana, wamemwagiwa mafuta ya moto, yaani mmoja unashindwa hata kumuangalia
Kuna Kakijana Ka-puppet kanaitwa JAMES MWAKIBINGA jana kalikuwa kanatoa MA-POVU.
Nilimuona jinsi alivyokuwa anaonyesha ustadi wa kukwepa viti.
Safi sana! Wapi rafiki yangu Rejao??
Source of information please!
chama hicho kimejaa wezi na wahuni..wanahonga mpaka sehemu zao za uzazi ili wapewe madaraka...ni watu wa hovyo sana hawa
Inavyoonesha hufuatilii taarifa za habari.
Soma vizuri threadHivi kawe ni wilaya? Watakuwa walikasilishwa na hotuba ya jk
C mada kesi hii
wauane tu, angalau wapungue...kuna kijana alinyanyua flower ves kubwa anataka kuwabonda nayo wenzie, hii ni zaid ya hatari