dengeru
Member
- Oct 1, 2009
- 52
- 7
jana nilibahatika kusikia mazungumzo ya wana ccm pale lumumba,kinahofanyika sasa kuhusiana na kura za maoni na matokeo yaliyotea ni kwamba wale watu walioshinda kura za maoni lakini hawawataki wawe wabunge wamepanga kuwapa u DC,kwahiyo si mda mrefu utasikia watu fulani wanajitoa hata kama wameshinda kura za maoni ili wawapishe wale ambao makamba na kikwete wanataka wawe wabunge..njia watakayotumia ni kumwambia alieshinda kura za maoni lakini hatakiwi ni kumuomba awe DC akigoma wanampa kesi ya kutoa rushwa kwenye kura za maoni....ieleweke kwamba si wote watapewa u DC wengine watapewa tu kesi za rushwa..tusubri