Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Leo hii lumumba.......
Leo hii lumumba.......
mambo mengine ni ya kawaida sana na hayahitaji mjadala. Hili si jambo la kuumiza vichwa vyetu na kutupoteza mwerekeo wa kujadili mambo makubwa kitaifa. kama imetokea hivyo basi ni makosa ya mtu aliyekuwa anapandisha pendera na si kosa la chama. Huu ni udaku.
mambo mengine ni ya kawaida sana na hayahitaji mjadala. Hili si jambo la kuumiza vichwa vyetu na kutupoteza mwerekeo wa kujadili mambo makubwa kitaifa. kama imetokea hivyo basi ni makosa ya mtu aliyekuwa anapandisha pendera na si kosa la chama. Huu ni udaku.
Masharti ya Sheikh Yahaya hayo. Yaani chama kinaendekeza ushirikina tuu! imekula kwao wana jichulia wenyewe hiyo October 31 wataisoma namba!
Na pia ndio jinsi watakavyo yapindua matokeo ya uchaguzi upside downDuh, ushahidi mwingine kwamba mwaka huu CCM itaanguka kichwa chini miguu juu.